Nakupenda lyrics by Jay Melody

nakunda lyrics by jay melody

Nakupenda lyrics by Jay Melody
Iwe giza baridi na upepoIwe kuna mawingu na minyeshoYour body baby joto (joto)Unafanya nijihisi specialUnanipa sababu ya uwepoKando yako we mtoto
My desire we nipe dawa mi mahututiSijielewi ooh my GodShida ni nimekolea penziniShida ni baby uko moyoni wewe
Nakupenda weNakutaka weKwako sijiweziOoh my loveMpenzi weRoho yangu weKwako sijiweziOoh my love
Akili mwili babyHasira zangu navitulizaUkiongea nasikilizaYote sababu ya upendoPili pili babyVindimu chumvi ya kunyunyizaYani uroda kupitilizaNimeumaliza mwendo
Kiukweli napendwa nachanganywaNa haya ma rahaShida ni nimekolea penziniShida ni baby uko moyoni, wewe
Nakupenda we (anhaaa)Nakutaka we (oh nana nana)Kwako sijiweziOoh my love (ooh my baby)Mpenzi we (oh nonono)Roho yangu we (aaaah yayaya)Kwako sijiwezi